Huyu Hapa Miss Dar Indian Ocean Aliyeshinda Taji Hilo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Huyu Hapa Miss Dar Indian Ocean Aliyeshinda Taji Hilo
Msomi wa Chuo Kikuu cha Ardhi kilichopo Mlimani jijini Dar, Stellah Ernest, usiku wa kuamkia leo ameibuka mshindi wa taji la Miss Dar Indian Ocean katika kinyang’anyiro kilichofanyika Ukumbi wa New Msasani Club jijini Dar.



Huyu Hapa Miss Dar Indian Ocean Aliyeshinda Taji Hilo
Stellah alivishwa taji hilo baada ya kuwabwaga wenzake 15 katika mavazi ya ubunifu, jioni na ufukweni. Sambamba na mavazi alionesha umahiri wa kujieleza kwa ufasaha na kuonesha upeo mkubwa alionao.




Akizungumza na baada ya mshindi huyo kutangazwa, Mkurugenzi wa Grace Entertainment, Catherine Ambakisye ‘Mama Rolaa’ alisema mshindi huyo alikuwa na haki ya kutwaa taji hilo kutokana na vigenzo mbalimbali alivyowazidi wenzake siku zote walipokuwa kambini.



----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad