IGP Sirro Atoa Onyo kwa Polisi na Kuwataka Kufanya Kazi kwa Kutenda Haki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

IGP Sirro Atoa Onyo kwa Polisina Kuwataka Kufanya Kazi kwa Kutenda Haki
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Simon Sirro, amefanya ziara ya kikazi ya siku mbili Arusha na kuwabadilikia baadhi ya polisi na kuwataka kufanya kazi kwa kutenda haki pasipo kujali rangi ya mtu pia amewaonya polisi waonaokwenda kinyume na utaratibu.

Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Simon Sirro akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.
Sirro amewataka polisi wanaokwenda kinyume na utaratibu wa jeshi hilo kuacha mara moja na kuwakumbusha kutenda kazi pasipokumuonea mtu ili kutenda haki kwa wananchi wote na kuleta usawa na kudai yoyote atakayebainika kwenda kinyume na utaratibu hatua zitachukuliwa ikiwemo kushtakiwa kijeshi.

Mbali na hilo IGP Sirro amewataka wananchi kuendelea kushirikiana na jeshi la polisi ili kuweza kupata taarifa zinazohusiana na uhalifu na wahalifu kwa wepesi zaidi.



----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad