AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP) Simon Sirro akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mrisho Gambo.
Sirro amewataka polisi wanaokwenda kinyume na utaratibu wa jeshi hilo kuacha mara moja na kuwakumbusha kutenda kazi pasipokumuonea mtu ili kutenda haki kwa wananchi wote na kuleta usawa na kudai yoyote atakayebainika kwenda kinyume na utaratibu hatua zitachukuliwa ikiwemo kushtakiwa kijeshi.
Mbali na hilo IGP Sirro amewataka wananchi kuendelea kushirikiana na jeshi la polisi ili kuweza kupata taarifa zinazohusiana na uhalifu na wahalifu kwa wepesi zaidi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK