Yingluck Shinawatra Atorokea Dubai

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Yingluck Shinawatra Atorokea Dubai
Taarifa kutoka Thailand zinasema aliyekuwa waziri mkuu Yingluck Shinawatra ametorokea Dubai baada ya kukosa kufika mbele ya mahakama kusomewa hukumu mjini Bangkok.

Vyombo vya habari nchini vinasema alitorokea kupitia Cambodia na Singapore, kabla ya kusafiri hadi katika taifa hilo la ghuba ambako kakake Thaksin - waziri mkuu wa zamani pia, anaishi uhamishoni.

Yingluck Shinawatra alikuwa anakabiliwa na kifungo cha hadi miaka 10 gerezani iwapo angepatikana na hatia ya uhalifu kutokana na kuzembea kazini katika kesi kuhusu mpango wa ruzuku kwa wakulima wa mpunga unaosemakana kuchangia ushindi wake katika uchaguzi.

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ingekua na hapa mafisadi na wauza unga wanafanyiwa hivyo mbona wangenyooka.. Maana huyu siyo wizi bali ameponzwa na uzembe tu da!!

    ReplyDelete

Top Post Ad