Kamanda wa Polisi Dar Azungumza kwa Mara ya Kwanza Awataadharisha Waharifu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kamanda wa Polisi Dar Azungumza kwa Mara ya Kwanza Awataadharisha Waharifu
Kamanda Mpya wa Polisi kanda maalumu ya Dar es salaam Kamishina Lazaro Benedict Mambosasa amewapa salamu watu wote wanaojihusisha na vitendo vya kihalifu Jijini humo.

Akizungumza kwa mara ya kwanza na Waandishi wa habari katika makao makuu ya kanda ya jeshi hilo, Kamanda Mambosasa ametamka kuwa yeye yupo kikazi zaidi na hivyo wahalifu watafute mikoa mingine ya kukimbilia na sio Dar es salaam.

Hata hivyo Mambosasa ameeleza kuwa katika kipindi chake atahakikisha Polisi wake wanafanya kazi kwa uweledi mkubwa ili kuepuka uonevu kwa Wananchi.

Aidha Mambosasa amemaliza kwa kusema kuwa yote hayo yatafanikiwa endapo wananchi watashirikiana na Jeshi la Polisi ili kupafanya Dar es salaam kuwa sehemu ya amani na utulivu.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad