AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Tukizungumza kwa namna ambavyo mimi nimefanya kazi na Ommy, vitu vingi vinavyomtokea sasahivi sielewi hata mimi nashangaa, kwa sababu ukiangalia hata kwenye gemu yetu hafanyi vizuri tena, sijui anakosea wapi, hata kazi zake hazina ubora na hazitoki kwa wakati.
“Nakumbuka wakati tunafanya kazi kuanzia Nai Nai, Baadaye, Ndagushima, Me and You, Tupogo, Wanjera ni nyimbo ambazo zilikuwa zinatoka kwa wakati, na mapokezi yake yalikuwa ni makubwa sana.
MUBENGA aliyekuwa meneja wa msanii, Ommy Dimpoz
Dimpoz Alivyosaini Katika Label Rockstar
“Sijui labda yeye mwenyewe anajiona wapi, lakini mimi simuoni pale ambapo nilikuwa nimemfikisha,” amesema Mubenga.
Baada ya kutemana na Mubenga, Ommy Dimpoz kwa sasa yupo chini ya menejimenti ya Rockstar, ambayo ndiyo inayomsimamia Ali Kiba.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK