Lipumba Akwaa Kisiki Mahakamani Jaji Akataa Maombi Yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Lipumba Akwaa Kisiki Mahakamani Jaji Akataa Maombi Yake
Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa, Profesa Ibrahim Lipumba na kundi lake wamekwama mahakamani leo baada ya Jaji Ndyansobera kukataa maombi ya Profesa Lipumba na kundi lake.

Jaji Ndyansobera amekataa kufuta kesi Namba 28/2017 kama ilivyoombwa na Lipumba ili wapate Ruzuku ya Chama  Cha Wananchi wa CUF inayofikia shilingi billion moja na million mia nne toka Julai mwaka jana.

Naibu Mkurugenzi wa Habari na Uenezi wa CUF, Mbarala Maharagande amefunguka na kusema kufuatia maamuzi haya ya mahakama hivyo hakuna pesa ambayo Profesa Lipumba anaweza kuchukua hata shilingi moja.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad