AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Madee amesema maana yake ni kuwa maandishi/mashairi anayoandika ni vigumu mtu yeyote kuyatafsiri na kupata maana iliyokusudiwa.
“Mpaka mimi nikukumbushe nilimaanisha nini baada ya hapo wewe ndio utajua. Mara nyingi sana ninapoandika nyimbo zangu kila mtu anajaribu kutafsiri anavyojua lakini mwisho wa siku mimi ninakuwa na maana yangu hicho ndicho kilipelekea hadi tukaja tukakorofushina na Afande Sele,” Madee ameiambia Bongo5.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK