Maskini Mchezaji Thomas Ulimwengu Afanyiwa Operation

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Jumatatu ya July 31 mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars Thomas Ulimwengu anayecheza katika timu ya AFC Eskilstuna ya Sweden kutumia ukurasa wake wa instagram alitoa taarifa kwa watanzania kuhusu hali yake.

Ulimwengu kupitia ukurasa wake wa instagram ameweka wazi kuwa amefanyiwa upasuaji wa goti na kufanikiwa kumaliza salama nchini Afrika Kusini na anaanza mazoezi ya miguu kama sehemu ya tiba ya kuponesha jeraha hilo haraka.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. mwandishi unaposema masikini una maana gani, kwani kufanyiwa operation kw mchezaji ni ajabu?

    ReplyDelete

Top Post Ad