Misri Yamwaga Fedha Hospitari ya Muhimbili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Misri Yamwaga Fedha Hospitari ya Muhimbili
Tanzania na Misri zimekubaliana kukuza ushirikiano katika maeneo mbalimbali ya kibiashara na kiuchumi pamoja na nchi ya Misri kuongeza fedha katika hospitali ya Muhimbili ili iwe inafanya operesheni ya figo.



Akizungumza jijini Dar es salaam baada ya mazungumzo yake na Rais wa Misri, Abdel Fattah Al Sisi, Rais Magufuli amesema wamekubaliana kuboresha sekta ya kilimo afya na biashara.

“Sasa tukuze biashara katika nchi hizi mbili, tumezungumza kwa mfano Tanzania ni wa pili kwa kuwa na mifugo mingi na nchi ya Misri inahitaji nyama tumekubaliana kuendelezana katika masuala ya kilimo ikiwepo kwenye masuala ya irrigation(umwagiliaji) ambayo ndio yameliendeleza taifa la Misri tangia miaka na miaka na miaka,” alisema Rais Magufuli.

“Kwahiyo wameamua hiyo Teknolojia kushirikiana na Tanzania katika masuala hayo lakini pia tumeahidi kushirikiana katika masuala ya afya wamekuwa wakitusaidia kwa baadhi ya wataalam na vifaa katika hospitali ya Dar es salaam Muhimbili pamoja na hospitali ya Zanzibar sasa wameamua kupanua zaidi huo wigo vizuri huo wigo na sasa wameamua wataongeza fedha kuwa sasa hospitali ya Muhimbili itakuwa inafanya operesheni ya figo pamoja na masuala mengine ambayo ni muhimu kabla haijafika 2020.”


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad