AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na mwandishi wa East Africa Television, Q Chief amezungumzia suala hilo na kusema huwa familia yake upande wa mama ni Wakristo na ana amini katika Mungu, lakini sio rahisi kwake kubadilisha imani yake.
"Familia yangu upande wa mama wengi ni wakristo, lakini wamegawanyika kutoka kwenye uislam kwenda ukristo, baba yangu ni muislam, babu yangu ana msikiti kwa hiyo sio jambo jepesi kutoka kwenye dini yangu imani yangu kwenda kwenye imani nyingine, naamini Mungu ndiye jibu sahihi, lakini huwa nachukua ushauri wa viongozi wa dini tofauti tofauti", alisema Q Chief
Q Chief aliendelea kwa kuzungumzia kitendo chake cha kuwa karibu na Mchungaji Anthony Lusekelo 'Mzee wa Upako', na kusema Mchungaji huyo ni sawa na kaka yake na anapenda anavyomshauri.
"Kuna siku moja nilipigiwa simu usiku kama saa saba hivi, kupokea ni Mzee wa Upako nikashtuka, nikasema kuna kitu gani au zali zimenindondokea! lakini nikagundua ni shabiki yangu namba moja, na siku zote amekuwa akitamani kunishauri, kunijenga kiimani lakini pia kuzungumza na mimi kama kijana, kwamba lolote unalopitia usisahau Mungu amekuweka kwa sababu, na Mungu yupo kuwainua wale walioanguka, naheshimu ushauri wake kama kiongozi, kama kaka mshauri kama mchungaji", alisema Q Chief.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK