Nani Atafaa Kuogombea Urais kwa Chadema 2020?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Kwanza niseme binafsi simwitaji EL kuwa mpeperusha bendera ya CHADEMA 2020, ila kama anataka astaafishwe siasa kwa lazima agombee tu.

Ila kwa ujumla naangalia tunavyojipanga na tunavyoenenda ndani ya chama chetu cha CHADEMA, hivi ni nani anaweza kupeperusha bendera yetu 2020?

Ukiangalia kwa macho ya nyama hupati hata mmoja labda itokee kama 2015. Kama Dr. Slaa ambaye tuliamini alikuwa na nguvu ya kuitoa CCM bila jasho kabisa, kwa sasa nani anafikia hata nusu ya Dr. Slaa pale kwetu?

Ni mawazo tu haya.

Hebu tuchangie kwa utulivu.

By Ufipa-Kinondoni
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad