Rais wa Misri Atua Tanzania kwa Ziara ya Siku Mbili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Rais wa Misri Atua Tanzania kwa Ziara ya Siku Mbili
Rais wa Jamhuri ya nchi za kiarabu ya Misri, Abdel Fattah El-Sisi amewasili nchini Tanzania na kupokelewa na mwenyeji wake, Rais John Pombe Magufuli kwa ziara ya kikazi ya siku mbili.

Amewasili kwa ndege maalum ya serikali ya Misri na kupokelewa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam..

Hii itakuwa ni ziara ya kwanza ya  nchini Tanzania tangu Dk Magufuli aingie madarakani Oktoba mwaka 2015. Kwa mujibu wa taarifa ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,

Lengo la ziara  ni kuimarisha na kukuza zaidi mahusiano mazuri yaliyopo ya kidiplomasia, kiuchumi na kijamii kati ya nchi hizi mbili, na itatoa fursa kwa viongozi hao kujadili masuala mbalimbali yanayohusu nchi hizi mbili, ya kikanda na kimataifa.



----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad