AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hayo ameyasema leo Ijumaa, Agosti 25, 2017 wakati akipokea vifaa kwa ajili ya kusaidia Jeshi la Polisi kutimiza majukumu yake ya kulinda usalama.
“Niliposema kuna askari wanajihusisha na biashara ya madawa wengine mlikataa, kuna baadhi ya polisi tumewabaini, waliitwa na wasamalia wema kwenda kwenye hoteli moja ambapo kulikuwa na wauza madawa, walipofika wakafanikiwa kuwakamata wakaondoka nao.
“Lakini cha ajabu walifika nhiani wakazungumza nao wakapewa kitu kidogo wakaachia wahalifu hao. Wahalifu wakarudi hadi kwenye ile hoteli na kuanza kuwaghasi wahudumu wa pale kuwa wamewachongea, hawa lazima tuwashughulikie” alisema Makonda.
“Wengine nao wanajihusisha na kuvusha wanayama wetu kobe kwenda nje ya nchi, hao nao tutawanyoosha.” aliongeza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK