Shabiki wa Simba Amepoteza Maisha Wakati wa Upigwaji Penati Katika Mechi ya Ngao ya Hisani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shabiki wa Simba Anmepoteza Maisha Wakati wa Upigwaji  Penati Katika Mechi ya Ngao ya Hisani
Mkoani Morogoro wilayani Kilombero tarafa ya Ifakara kijiji cha Sakamanga shabiki wa Simba Pastol Abel Kingia alipoteza maisha wakati wa upigwaji wa mikwaju hiyo ya penati, huo ulikuwa ni wakati wa Haruna Niyonzima anakwenda kupiga penati.

Jioni ya Jumatano ya August 23 2017 uwanja wa Taifa Dar es Salaam mchezo wa Ngao ya Hisani uliyokuwa unawakutanisha watani wa jadi Simba na Yanga ulichezwa, kama kawaida mchezo huo hutawala na tambo za mashabiki wa pande zote mbili.

Kwa kawaida mchezo wa Ngao ya Hisani unatakiwa kupata mshindi hivyo baada ya game hiyo ya Simba na Yanga dakika 90 kumalizika kwa sare tasa 0-0, muamuzi wa kati Ely Sasii aliitisha mikwaju ya penati ndio Simba akafanikiwa kupata ushindi wa penati 5-4.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad