Shilole Aruhusiwa na Mchumba Wake Kuvaa Nusu Utupu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Shilole Aruhusiwa na Mchumba Wake Kuvaa Nusu Utupu
JAMAA ambaye ndiye usingizi wa staa wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed, Ashrafu Uchebe, ameibuka na kumpa ruksa mpenzi wake ya kuvaa nguo za nusu utupu na kuwaambia mashabiki wamuache avae kwa sababu kazi yake inamruhusu.

Akizungumza na Amani, Uchebe alisema kuwa, anawashangaa wanaomwambia ‘baby’ wake huyo hana mavazi ya staha wakati yeye anamuona yupo sahihi.

“Jamani baby wangu wanataka avae dela apande nalo jukwaani wakati mavazi ya kupanda jukwaani yapo? Naomba waniachie malkia wangu kama wanataka na wao wavae,” alisema Uchebe ambaye uhusiano wake na mwanamuziki huyo umekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. HUYO SIO BWANA ,NI MSHIKAJI TU.
    BWANA ANAKUWA NA WIVU NA MKEWE HATA KUCHA HATAKI MWENGINE AIONE.
    BAADA YA MUDA KUMBUKENI HAYA.

    ReplyDelete

Top Post Ad