AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Amani, Uchebe alisema kuwa, anawashangaa wanaomwambia ‘baby’ wake huyo hana mavazi ya staha wakati yeye anamuona yupo sahihi.
“Jamani baby wangu wanataka avae dela apande nalo jukwaani wakati mavazi ya kupanda jukwaani yapo? Naomba waniachie malkia wangu kama wanataka na wao wavae,” alisema Uchebe ambaye uhusiano wake na mwanamuziki huyo umekuwa gumzo kwenye mitandao ya kijamii
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
HUYO SIO BWANA ,NI MSHIKAJI TU.
ReplyDeleteBWANA ANAKUWA NA WIVU NA MKEWE HATA KUCHA HATAKI MWENGINE AIONE.
BAADA YA MUDA KUMBUKENI HAYA.