AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baada ya ushindi Haruna Niyonzima aliyejiunga na Simba akitokea Yanga na kutajwa kuwa ndio mchezaji ghali kwa sasa katika kikosi cha Simba leo amecheza game yake ya kwanza dhidi ya Yanga baada ya kuhama timu hiyo, presha kwake ilikuwaje”
“Kucheza kwa mara ya kwanza dhidi ya Yanga presha ilikuwa kubwa unajua mimi ni mchezaji na hii ni kazi yangu hivyo nilimuomba Mungu aweze kunitoa hofu kwa sababu kitu kikubwa nilichokuwa nacho ni hofu, Yanga ni kama ndugu zangu nimecheza nao kwa muda mrefu” Niyonzima VIDEO:
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
SIMBA SIKU ZOTE NI SIMBA
ReplyDeleteHATA AKIWA MGONJWA ANABAKI KUWA NI SIMBA.