Siwezi Jifananisha na Lulu Diva : Malaika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Siwezi Jifananisha na Lulu Diva : Malaika
Msanii wa Bongo Flava, Malaika amesema hawezi kujilinganisha na Lulu Diva kwani kila mmoja anafanya aina yake ya muziki.

Hata hivyo ameeleza kuwa Lulu Diva ni msanii mpya ambaye pia anafanya vizuri, hivyo wale wanaowalinganisha hawafanyi kitu kibaya.

“Sijui, siwezi kujilinganisha, ni watu ambao wanaona ndio wanaweza kutulinganisha lakini naweza kusema Malaika ni Malaika. Ukinisikiliza vizuri katika miziki yangu and the way navyotunga,” ameiambia E-Newz ya EATV na kuongeza.

“Sijafanikiwa sana kusikiliza miziki yake lakini najua ule mmoja ‘Usimuache’, kwa hiyo najua yupo tofauti na mimi, aidha kuna vitu anapenda kutoka kwangu. Unajua kuna mtu anaweza kuwa ni fan mpaka anafanya vitu kama wewe, so inawezekana pia yupo hivyo,” amesisitiza.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad