Amini Afunguka Sababu ya Kutompongeza na Kutompa Zawadi Linah Alipojifungua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Amini Afunguka Sababu ya Kutompongeza na  Kutompa Zawadi Linah Alipojifungua
Msanii wa Bongo Flava, Amini amefunguka mambo kadhaa kuhusu aliyekuwa mpenzi wake Linah tangu alipojifungua.

Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake ‘Yamoyoni’, ameiambia XXL ya Clouds Fm aliposikia Linah amejifungua alimuombea tu ila hakuweza kumpatia zawadi yoyote.

“Sikuwahi kumpongeza wala kumpelekea zawadi kwa sababu sifahamu anapokaa, vile vile sina mawasiliano naye. Niliposikia amejifungua mtoto wa kike nikasema Mwenyenzi Mungu amfanyie wepesi na mtoto wake na waweze kuishi vizuri katika maisha yao,” amesema.

“Yeye hakuwahi kunikosea hata mimi sikuwahi kumkosea kwa hiyo sikuwa na sababu ya kusema kitu gani bwana, ila kimoyomoyo nilimuombea dua kwa sababu alikuwa anahitaji sana mtoto,” ameongeza.

Wawili hao ambao muziki wao ulitambulika kupitia THT walikuwa mapenzini kipindi cha nyuma kabla ya kila mmoja kuanza maisha mapya ya kimahusiano.


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad