AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake ‘Yamoyoni’, ameiambia XXL ya Clouds Fm aliposikia Linah amejifungua alimuombea tu ila hakuweza kumpatia zawadi yoyote.
“Sikuwahi kumpongeza wala kumpelekea zawadi kwa sababu sifahamu anapokaa, vile vile sina mawasiliano naye. Niliposikia amejifungua mtoto wa kike nikasema Mwenyenzi Mungu amfanyie wepesi na mtoto wake na waweze kuishi vizuri katika maisha yao,” amesema.
“Yeye hakuwahi kunikosea hata mimi sikuwahi kumkosea kwa hiyo sikuwa na sababu ya kusema kitu gani bwana, ila kimoyomoyo nilimuombea dua kwa sababu alikuwa anahitaji sana mtoto,” ameongeza.
Wawili hao ambao muziki wao ulitambulika kupitia THT walikuwa mapenzini kipindi cha nyuma kabla ya kila mmoja kuanza maisha mapya ya kimahusiano.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK