Utata Polisi Aliyepotea Akutwa Amefariki Pembezoni mwa Ziwa Victoria

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Utata Polisi Aliyepotea Akutwa Amefariki Pembezoni mwa Ziwa Victoria
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kagera Augustine Ollom ameelezea tukio la Koplo Mussa Salum Msanya kutoweka nyumbani na baadae kukutwa mwili wake ukiwa kwenye maji ya Ziwa Victoria siku mbili baadae.

Kamanda Ollom ameeleza kuwa tukio hilo limetokea August 26, 2017 majira ya saa 6:20 mchana ambapo mke wa Askari huyo alifika kituoni kutoa taarifa kuwa mumewe hakurudi nyumbani tangu alivyoondoka.

>>>”Siku ya August 26, 2017 majira ya Saa 6:20 mke wa Koplo Mussa alifika Kituo cha Polisi kutoa taarifa kwamba mumewe aliondoka tangu asubuhi akitokea nyumbani kwake Kambi ya Polisi na hakuweza kurudi…” – RPC Ollom

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad