Uwoya Apewa Mwaliko na Jaguar Kushuhudia Kuapishwa kwa Kenyatta

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Uwoya Apewa Mwaliko na Jaguar Kushuhudia Kuapishwa kwa Kenyatta
Msanii wa filamu za kibongo Irene Uwoya ambaye hivi karibuni amekuwa gumzo baada ya sakata la ndoa yake kuwekwa wazi na mumewe Hamad Ndikumana huku akimtuhumu kuwahi kuwa na mahusiano na msanii kutoka Kenya Jaguar.


Hivi karibuni msanii Jaguar ameshinda ubunge wa jimbo la Starehe kwenye uchaguzi mkuu nchini Kenya, na kukawa na tetesi kwamba Irene Uwoya amealikwa kushuhudia kuapishwa kwa Rais Uhuru Kenyata huku mualiko huo ukitolewa na Jaguar.

Akizungumza na mwandishi wetu Irene Uwoya amekiri kupewa mualiko huo na kusema kama atapata nafasi atahudhuria sherehe hizo, lakini aligoma kufunguka kama kweli ana mahusiano na msanii Jaguar.

"Kwanza huwa sipendi masuala ya mahusiano yangu kuweka wazi kwenye vyombo vya habari, na kuhusu kwenda Kenya nikapata nafasi nitahudhuria nimepewa mualiko, lakini kwa sasa nashoot hivyo nikipata nafasi nitahudhuria", alisema Irene Uwoya.
Sherehe za kuapishwa kwa Rais mteule wa Kenya Uhuru Kenyata zinatarajiwa kufanyika tarehe 29 mwezi huu nchini Kenya, zitakazohudhuriwa na mamia ya wananchi wa Kenya.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad