Wanawake wa Tanga ni Nomaaaaa!!!! Nimenyosha Mikono

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Bwana eeee nipo na mwanamke wa Tanga hapa,mwanamke ananipikia,ananiogesha,ananitawaza nikienda chooni,ananifulia mpaka boxer,mwanamke ananitiii na kuniheshimu sijawahi ona, mwanamke anajishushaaa na ananiheshimu Mimi kama baba yake,mwanamke hajawahi kunipandishia sauti,mwanamke ananilisha khaaaaa!!!! Aisee sijawahi ona,Juzi nikawa nimekula nimeshiba sana,sasa nikawa nimejamba bahati mbaya akaniambia """ baby pole haujaumia"!!!!!! Yaani kujamba mtu anaumia???? Aiseee hapa sitoki lazima nioe yaani naona dunia yote yanguuuu Trump namuona mtoto mdogooo sanaaa yaani najiona Mimi ndo mfalme wa dunia

Nilipanga sitokuja kuoa lakini lazima nioe yaani siwezi kubali huyu binti aende kwa mwanaume mwingine,yaani kumpoteza huyu binti ni sawa na kupoteza trillion miaaaaaaaaa

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad