AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Mambo ya Ndani ambaye ni Mbunge wa la Iramba Magharibi Mwigulu Nchemba ameendelea na ziara yake kutembela kila Kijiji katika kila Kata zilizopo Jimboni mwake kuzungumza na wapiga kura na kukagua shughuli mbalimbali za kimaendeleo.
Leo ametembela Kijiji cha Ujungu katika Kata ya Mekente na kukuta ubovu wa miundombinu katika Shule ya Msingi Ujungu katika kijiji hicho huku Walimu wakiishi katika mazingira magumu ambapo aliamua kulibeba jukumu la kuboresha miundombinu akiahidi kulishughulikia mapema iwezekanavyo.
Waziri Nchemba amesema “Kwa kazi nzuri mnayoifanya naahidi leoleo kwa kushirikiana na marafiki zangu tutatengeneza mkaakti wa kushughulikia ukarabati wa madarasa pamoja na nyumba za walimu, walimu tisa kukaa kwenye nyumba tatu hesabu hii haina uwiano kabisa”
“Hii ni hatua moja kubwa sana na baada ya miaka 15,20 utaona Mbunge anatoka huku, kwasababu hata kijijini nilipotoka walikuwa wanapaita kijijini hivihivi kwa hiyo nitakarabati darasa kama njia ya kuweka mfano bora” –Waziri Nchemba
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK