AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na Big Chawa wa Planet Bongo ya East AFrica Radio, Jackline Wolper alisema mpenzi ambaye alikuwa naye wakati huo alikuwa anapenda mwanamke aliye na mwanya lakini yeye hakuwa akipenda mwanya, hivyo akaamua kung'oa jino hilo la pembeni ili amridhishe mpenzi wake.
Wolper aliendelea kusema kwamba jino hilo aling'oa akiwa nchini Afrika Kusini alikoenda na mpenzi wake huyo, na ndiye aliyemlipia gharama za kufanya hivyo na kuweka jino la dhahabu, lakini pamoja na kufanya hayo yote mpenzi wake huyo hakufurahia, kwani yeye alitaka mwanya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Sasa huyu hamonaizi yuko sauzi?
ReplyDeletewee muongo sana kaa
ReplyDelete