AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kishoa amesema hayo baada ya kipindi cha maswali na majibu bungeni alipoomba mwongozo wa Spika kuhusu kauli aliyodai ilitolewa juzi Septemba 3 na Mwigulu.
"Kauli hii inatofautiana na aliyoitoa Machi kwamba, wabunge wa viti maalumu wanaruhusiwa kufanya mikutano katika mkoa na wabunge wa majimbo kwenye majimbo yao tu," amesema.
Hata hivyo, Spika Job Ndugai amemjibu mbunge huyo kwamba, alichomaanisha Mwigulu ni kuwa wabunge wa majimbo wanaruhusiwa kuzungumza na wapiga kura.
“Sasa wapiga kura wenu wapo kwenye mikutano ya hadhara?" amehoji Ndugai.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK