Agizo la Waziri wa Mambo ya Ndani la Kibaguzi na Kinyume na Sheria- Kishoa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Agizo la Waziri wa Mambo ya Ndani la Kibaguzi na Kinyume na Sheria- Kishoa
Mbunge wa Viti Maalumu (Chadema), Jesca Kishoa amesema agizo la Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba la kuwataka wabunge wanawake wafanye mikutano katika vyama vyao badala ya mikoa wanayotoka ni la kibaguzi na kinyume cha Katiba.

Kishoa amesema hayo baada ya kipindi cha maswali na majibu bungeni alipoomba mwongozo wa Spika kuhusu kauli aliyodai ilitolewa juzi Septemba 3 na Mwigulu.

"Kauli hii inatofautiana na aliyoitoa Machi kwamba, wabunge wa viti maalumu wanaruhusiwa kufanya mikutano katika mkoa na wabunge wa majimbo kwenye majimbo yao tu," amesema.

Hata hivyo, Spika Job Ndugai amemjibu mbunge huyo kwamba, alichomaanisha Mwigulu ni kuwa wabunge wa majimbo  wanaruhusiwa kuzungumza na wapiga kura.

“Sasa wapiga kura wenu wapo kwenye mikutano ya hadhara?" amehoji Ndugai.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad