Dayna Nyange Afunguka Siri ya Kuingia Kwenye Sanaa ya Muziki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Dayna Nyange Afunguka Siri ya Kuingia Kwenye Sanaa ya Muziki
Msanii wa Bongo Flava Dayna Nyange amedai kuwa kipindi cha nyuma muziki wa AY na Fid Q ulimpelekea kupenda muziki na atimaye kutumbikia katika tasnia hiyo.

Muimbaji huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Chovya’ kipindi cha awali alikuwa akifanya na muziki wa rap kabla ya kuanza kuimba.

“Sasa hivi nikitaka kufanya hicho kitu itanichukua muda sana, lakini mimi nilikuwa napenda kwa uandishi na kuna watu wanaflow, hapo nilikuwa nampenda AY alivyokuwa anaflow lakini kwenye maneno Fid Q ni mtu ambaye alikuwa na maneno,” amesema Dayna.

“Unajua muziki una utofauti unaweza ukawa na maneno makali lakini kwenye flow ukawa na utofauti, mwingine anaflow kiasi kwamba unaleta ladha fulani. Kwa hiyo nikawa napenda maneno ya Fid Q alikuwa na maneno fulani makali na magumu,” ameongeza.



----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad