AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Alipoulizwa juu ya stori hiyo, Amber Lulu alifunguka na kusema:
“Mpenzi wangu wa kwanza alikuwa Rammy Galis kipindi nafika Dar, tulikubaliana vizuri na Rammy tukaenda hotelini tukaagiza vyakula tukala na mambo mengine yakaendelea. Baadaye akaniambia nakuja, nikamwambia poa lakini mwisho wa siku sikumuona. Nikawa napiga simu yake mara asipokee na akipokea basi akawa ananiambia nisubiri kidogo. Sikujua kwa nini alikuwa anafanya hivyo.”
Aliongeza kwamba: “Alinipokea mizigo vizuri tukaingia hotelini baada ya hapo ndo akafanya alivyoamua kufanya, basi mimi nikampigia dad’angu simu nikamuelezea akaniambia hayo ni mambo ya kawaida basi dada akanitumia pesa nikalipia kila kitu. Baada ya hapo nikarudi zangu nyumbani na sikuwahi kuwasiliana naye tena tangu siku hiyo. “
Amber ni mwanamke asiyeishiwa kiki na skendo mjini lakini hajalikitu, anaangalia maisha yake tu. Ni msichana ambaye haogopi kufunguka mambo yanayohusiana na mahusiano yake. Haogopi kiki bali anazipenda kiki.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK