Utaratibu ni Upi Katika Matibabu ya Lissu Kutokana na Kauli Hizi za Viongozi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Utaratibu ni Upi Katika Matibabu ya Lissu Kutokana na Kauli Hizi za Viongozi
Hizi ndizo kauli zilizotolewa na viongozi kuhusu matibabu ya Mbunge wa Singida Mashariki(Chadema), Tundu Lissu baada ya kupelekwa jijini Nairobi.

Katika kauli hizo Spika wa Bunge, Job Ndugai anaeleza kuwa utaratibu wao wa kumpeleka Lissu nje ni lazima apitie Muhimbili kwa kuwa Bima ya Afya ndivyo inavyotaka.

Hata hivyo, Mbunge wa Iringa Mjini(Chadema), Mchungaji Peter Msigwa anasema kuwa bima walizo nazo wabunge hazifanyi kazi nje ya nchi ndiyo maana hata Kenya wamewashangaa.

Lakini Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu hivi sasa anasema Serikali iko tayari kumtibia Lissu mahali popote duniani. Sasa swali la kujiuliza utaratibu ni upi?

----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad