Askofu wa kanisa la ufufuo na uzima Josephat Gwajima ameongea kwa mara ya kwanza kuhusu kuileta PRIVATE JET yake Tanzania ambayo ameinunua Marekani.
Kwenye hii video fupi hapa chini Gwajima amesema “Mimi nasema kwenye maisha yangu sishindwi hata sasa hivi nimekuja hapa Marekani narudi na Private Jet, nanunua…. why not? wale mlio Tanzania mnisikie anaeleta ngebe namkata ngebe kwa jina la Yesu“
TAZAMA HII VIDEO HAPA CHINI KUMTAZAMA….
----
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
We Ngwajima...Hela unapataga wapi.. Mishe mishe gani hizo. Magu kaziba mianya ya Hewa Yote. Edo haoni ndani..!! Au unakula na Fedeliki? Wewe chama chako ni Kipi? na nana mwenyekiti wako?
Mie nilisikia unatuletea TLENI Je Ni kweli? Na Nikasikia pia Shida ya Umeme umesha itatua. Je ni kweli?
We Ngwajima...Hela unapataga wapi..
ReplyDeleteMishe mishe gani hizo.
Magu kaziba mianya ya Hewa Yote.
Edo haoni ndani..!! Au unakula na Fedeliki?
Wewe chama chako ni Kipi? na nana mwenyekiti wako?
Mie nilisikia unatuletea TLENI Je Ni kweli?
Na Nikasikia pia Shida ya Umeme umesha itatua. Je ni kweli?