AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wale vijana waliokuwa wakijitabanaisha kuwa ni wazalendo na wengine wakitaka kujitengenezea njia ya siku moja kuwa mabwana wakubwa wa nchi hii kwa awamu hii naona wengi ni kama wamelazimika kukalia mikia yao na kuinamisha pembe zao kama wanazo bado. wengine zilishakatwa kabisa.
Mawaziri wengi wameishia kutoa stress zao na matamko Tweeter na Facebook huko utaona wanacho post utagundua wapo katika hali gani.
By Mtu Asiyejulikana
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK