AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Okwi ndiye mchezaji anayeongoza kwa kufumania nyavu kwa kuwa na mabao sita hadi sasa.
Lakini Tambwe ambaye anaanza mazoezi leo Jumatatu, akiwa uwanjani kufunga huwa ni jadi yake, hatua ambayo inampa matumaini Cannavaro kuwa mshambuliaji huyo ataweza kumfikia Okwi na kuleta ushindani.
Akizungumza na Championi Jumatatu, Cannavaro amesema kuwa, mabao sita ya Okwi kwa sasa siyo kigezo cha mshambuliaji huyo kuweza kutwaa ufungaji bora msimu huu na kudai kuwa atakutana na upinzani mkali kutoka kwa washambuliaji wa Yanga akiwemo Tambwe mara baada ya kurejea.
“Ni vigumu kumhakikishia kuwa Okwi anaweza kuwa mfungaji bora katika kipindi hiki kwani tunaamini muda upo na kwa upande wetu kuna Tambwe ambaye bado hajarejea, tunaamini atafanya vizuri na kuleta ushindani kwenye mbio za ufungaji bora.
“Pia kuna wachezaji kama Chirwa (Obrey), Ngoma (Donald) na Ajibu (Ibrahimu), wanao uwezo wa kufunga vizuri na hata kuwania ufungaji bora, hivyo ligi bado na tunaamini watafanya vyema,” alisema Cannavaro.
Khadija Mngwai, Dar es Salaam.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK