Korea Kaskazini Yaongezwa Kwenye Zuio la Kuingia Marekani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Korea Kaskazini Yaongezwa Kwenye Zuio la Kuingia Marekani
Marekani imepitisha vikwazo vipya vya zuio la kuingia nchini humo,ikiiongeza nchi ya Korea kaskazini raia wake kutoingia katika taifa hilo ambapo mengine yaliyoingizwa katika vikwazo hivyo ni Venezuela na Chad .
Sababu zilizopelekea Marekani kuweka vikwazo kwa raia wa nchi hizo kuingia nchini humo ni pamoja na usalama wa nchi zao kuwa duni na ukosefu wa ushirikiano.
Hatua hiyo ya Marekani imetoa masharti tofauti kati ya nchi na nchi ambapo Venezuela,wale waliozuiwa ni wafanyakazi wa serikali na familia zao.
Raia wa Nigeria wazuiwa kuingia Marekani
Urusi yashutumu vikwazo vya Marekani kuhusu viza
Jaji adhoofisha marufuku ya Trump dhidi ya mataifa 6 ya Kiislamu
Sudan nayo imeondolewa katika nchi sita za kiisamu ambazo Rais Trump alikuwa ameziwekea vikwazo.
Nchi ambazo bado ziko kwenye marufuku ya Rais Trump ni pamoja na Iran,Libya,Somalia na Yemen.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad