AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akichonga na Uwazi Showbiz, muda mchache baada ya kusambaza kipande cha video kwenye mitandao ya kijamii cha wimbo huo mpya na kukutana na changamoto za watu kuiponda ngoma hiyo na kumwambia anatakiwa kubadilisha namna ya ufanyaji wake wa kazi Chid alisema;
“Bado nina watu wengi wanaoufuatilia muziki wangu na wanapenda namna ninachana kwa hiyo hata siwezi kusikiliza maneno ya wachache ambao hawanipendi wanaoponda ngoma yangu, kikubwa mashabiki wategemee kupata vitu vikali zaidi kutoka kwangu maana kwa sasa nilishabadilika na kuwa mtu mpya.”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK