AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii huyo amewajibu wabaya wake kupitia mtandao wa Instagram, baada ya kuonekana kuibuka mshindi katika vita ya mtoto aliyezaa na mrembo Hamisa Mobetto.
Daimondi ameandika hivi kupitia instagramu yake “Chawa KATU hauliwi kwa DOLE GUMBA…… Leo kawa Baba WATATU yule walomuitaga MGUMBA….”🔥🔥
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hiyo ni haki yako dogo kutoa yaliyomo moyoni mwako maana waswahili walikuandama sana kuhusu suala la wewe kuwa na mtoto/watoto na wakaropoka maneno mengi sana ya kashfa kama wao ni vile miungu watu sasa hao hao wameishasahau yote hayo kuwa "MLA NDIZI HUSAHAU LAKINI MUOKOTA MAGANDA YA NDIZI HUWA HASAHAU"Sasa dogo umefungulia mbwa unawafyatua watoto tu kama vile huna akili nzuri" hahahaaaa!Babkubwa dogo big up!Usishangae ikatokea siku watu hao hao wakaanza kukwambia kuwa "eti"Una watoto wengi hiyo ndiyo Africa na watu wake roho zao zimejaa kutu kibao kama mabomba ya maji
ReplyDeleteHONGERA DIAMOND KWA BUSARA, MSHUKURU MUNGU KWA HILO. ILA NENDAPIA KWA ZARI ONGEA NAE ANA KWA ANA MWOMBE RADHI UKIWA NAE ANA KWA ANA.
ReplyDeleteya ugumba yaliisha zamani unge yaongea wakati ulipopata wawili au untaka kupotezea ya sasa anyways its none of our business
ReplyDelete