AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Azam na Simba ndio timu pekee ambazo hazijaruhusu nyavu zao kutikiswa kwenye mechi tatu za Ligi Kuu Bara msimu mpaka sasa.
Morris alisema wamejiwekea malengo msimu huu ya kuhakikisha wanaweka rekodi ya kuwa timu ambayo haijaruhusu bao msimu huu ingawa amekiri si kazi nyepesi lakini bidii na kujituma inawasaidia kutimiza malengo yao.
" Hakuna kingine kiinachoibeba safu yetu ya ulinzi kama umoja tulionao na kila mmoja kujua nini anatakiwa kufanya na kusaidiana.Hali hii imetufanya kutengeneza ukuta wa chuma ni ngumu kupitika kirahisi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK