Hiki ndicho Madee Alichomjibu Chid Benz Baada ya Kuitwa Mnafki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Hiki ndicho Madee Alichomjibu Chid Benz Baada ya Kuitwa Mnafki
Msanii wa muziki Bongo kutoka Tip Top Connection, Madee amechukulia poa kauli ya Chidi Benzi aliyedai kuwa msanii huyo ni mnafiki.

Madee ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake ‘Sikila’ aliyofanya na Tekno ameiambia Planet Bongo ya EA Radio kuwa hicho ni kitu kisichoweza kumuumiza kwa sababu siyo tusi.

“Chidi namuheshimu kama mdogo wangu kama rafiki yangu hatujawahi kutaniana. Ni kawaida sio tusi ambalo lingeweza kunifanya nichukie,” amesema Madee.

Kuhusu ujumbe aliandika katika mtandao wake wa twitter; ndio maana huwa sivuti sigara. Madee amekanusha ujumbe huo kumlenga Chidi Benz.

“Hilo ndio tatizo ambalo watu wengi wanashindwa kutafsiri ndio maana huwa napenda kujiita wino mweusi naandika kitu halafu kinakuweka wewe kwenye giza haujui, mpaka unitafute mimi nikueleweshe,” ameongeza.

Suala hilo lilifikia hapo baada ya Chidi Benz kudai kuwa amefanya kolabo na Tupac ambaye kwa sasa ni marehemu kitu kilicholeta mshangao.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad