AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwamko huu ni baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kutangaza zoezi la Upimaji bila Malipo.
Madaktari bingwa na Wauguzi kutoka Hospital za Umma,Jeshi na zile za Watu Binafsi wanaendelea na zoezi la Upimaji kwa Wananchi.
Katika Upimaji huo Mwananchi atakaepimwa na kubainika kuwa na matatizo ya kiafya atapelekwa Hospital na kupatiwa Matibabu Bure. Picha za watu waliojitokeza.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK