Kampeni ya Upimaji Afya Bure Iliyoanzishwa na RC Makonda Yaanza Leo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kampeni ya Upimaji Afya Bure Iliyoanzishwa na RC Makonda Yaanza Leo
Zoezi la Upimaji wa Afya Bure kwa muda wa siku tano limeanza Jumatano hii kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam ambapo baadhi ya wananchi wamewahi kwenye viwanja hivyo tokea saa 10 Usiku.

Mwamko huu ni baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kutangaza zoezi la Upimaji bila Malipo.

Madaktari bingwa na Wauguzi kutoka Hospital za Umma,Jeshi na zile za Watu Binafsi wanaendelea na zoezi la Upimaji kwa Wananchi.

Katika Upimaji huo Mwananchi atakaepimwa na kubainika kuwa na matatizo ya kiafya atapelekwa Hospital na kupatiwa Matibabu Bure. Picha za watu waliojitokeza.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad