AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aina hiyo mpya ya magari yanaweza kusafiri mwendo wa asilimia 50 zaidi baada ya kupata chaji, kwa mujibu wa kampuni hiyo.
Hata hivyo bado magari hayo hayajafikia mwendo wa magari wa Tesla na GM.
Magari hayo yanayofahamika kama 'Leaf' yanakabiliwa na ushindani mkali wakati sekta ya magari yanayotumia umeme inazidi kukua.
Magari mapya ya Leaf yameuzwa nchini Japan kuanzia Oktoba na yataanza kuuzwa sehemu zingine mwaka ujao.
Kati ya mabadiliko yaliyofanyiwa hayo magari hayo ni mfumo wa kujindesha unaofahamika kama ProPilot Park, ambao huyawezesha kepenya maeneoimagumu hususan wakati wa kuegeshwa.
Pia yana teknolojia ya kujiendesha yenyewe hasa kwenye babara ambayo inaelekea upande mmoja tu.
Bei ya magari hayo itaanzia yen 3,150,360 au pauni 22,220.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK