Kwa Sasa Sina Mpango Wa Kuoa - Chege

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kwa Sasa Sina Mpango Wa Kuoa - Chege
Msanii wa muziki Bongo, Chege amedai kwa sasa bado hajafikiria mipango ya kufunga ndoa.

“Ni suala jema na ambalo linatakiwa lipewe nguvu na Mwenyenzi Mungu pamoja na juhudi zangu. Nikisema Mwenye Mungu ni kumpata mtu ambaye ni right choice kama mke ambaye nitaishi naye”. Kauli hiyo aliitoa Chege katika mahojiano na Bongo5 na kuendelea;

“Unajua kuoa ni kujifunga kabisa huyo ni wa milele ingawa inatokea bahati mbaya mtu unaweza ukaacha mwanamke lakini inabidi uchagua chaguo ambalo unaweza ukaishi nalo. Isiwe unaoa kwa sababu ya trending za watu, mimi siwezi kuoa kwa style hiyo,” amesema Chege.

Pia amesema kuwa familia yake hasa mama yake mzazi, kaka na ndugu wamekuwa wakimuuliza kuhusu jambo hilo na jibu lake siku zote limekuwa ni hilo hilo.

Chege kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Run Town’,  pamoja na ‘Najiuliza’ aliyowashirikisha Ray C na Sanaipei Tande.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad