AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Bongo5, Idris amesema alimualika mrembo huyo ambaye alikuwa date wake katika uzinduzi wa filamu ya ‘Heaven Sent’ wikiendi iliyopita na ila mrembo huyo hajafika kutokana na udhuru aliyopata hivyo akampa ridhaa.
“Nilimualika Wema sema unajua nyie wanawake mambo yenu hivyo ameshindwa kuja ikabidi ni mpe ridhaa, wakati naongea naye kwenye simu alivyosema sitaweza kufika basi nikamjibu uliza kiatu,” amesema Idris.
Idris na Wema wamekuwa wkionekana mara kadhaa katika event mbalimbali ,hivyo kukosekana kwa mrembo huyo kuliibua maswali kadhaa jambo ambalo Idis alinyoosha maelezo.
/
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK