Lissu Amekosea Nini Nchi Mpaka Kufanyiwa Hivi- Nyarandu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mbunge wa Singida Kaskazini Lazaro Nyalandu amesema kitendo cha Tundu Lissu kusalimika kifo kwenye tukio la kupigwa risasi ni Mungu tu ndiye aliandika, lakini kinamuumiza zaidi huku akilaumu ameikosea nini nchi mpaka kufanyiwa hivyo.

Lazaro Nyalandu ameyasema hayo kwenye ukurasa wake wa facebook, akiwa mkoani Mbeya ambapo alishiriki maombezi ya Tundu Lissu ambayo yalifanyika siku ya jana.
"Nimekuja Mbeya kulikumbusha Taifa kuwa kupigwa kwa mmoja wetu ni kupigwa kwetu sote, kuumizwa kwake ni kuumizwa kwetu sote, na kudhulumiwa kwake huyo mmoja ni dhuluma dhidi ya kila Mtanzania. Tundu Lissu amepona kwa kuwa imeandikwa, naamini, ndani ya moyo wake akiwa katika maumivu lukuki aliyonayo, atakuwa anajiuliza nimekukosea nini Tanzania", ameandika Lazaro Nyalandu
Lazaro Nyalandu amekuwa miongoni mwa watu wanaofuatilia kwa karibu matibabu ya Tundu Lissu jijini Nairobi, huku akiimiza watanzania kuendelea kumuombea ili aweze kupona kabisa na kurejea kwenye hali yake ya kawaida.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad