Madee Amtolea Povu Dudu Baya Amtaka Wabishane kwa Kazi Sio ManenoManeno '

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Madee Amtolea Povu Dudu Baya  Amtaka Wabishane kwa Kazi Sio ManenoManeno '
Msanii wa muziki Bongo, Madee amemjibu msanii Dudu Baya aliyedai kuwa wimbo ‘Sikila’ si mzuri.

Msanii huyo ambaye kwa sasa anafanya vizuri na ngoma yake mpya ‘Sema’ ameiambia E-Newz ya EATV kuwa anachukulia hayo ni kama maoni yake binafsi kwani hakuna ambaye anafanya kitu bila kupingwa na msanii hawezi kutoa ngoma kila mtu akaikubali.

“Hatusikii kazi tunasikia maneno, kwa hiyo hivyo ni vitu ambayo kwangu mimi huwa navipisha tu, ukitaka kubishana nakuonyesha kazi yangu hii hapa, nadhani huo ndio msingi bora ambao tunatakiwa tuwaelekeze wezentu wanaojaribu kutoka nje ya mistari,” amesema Madee.

“Wengi ambao nilikuwa nao, nilianza nao miaka hiyo 17 ndio ambao sasa hatuwasiki zaidi utawasikia wanaongea hiki na kile lakini still Madee bado anatoa ngoma watu wanapokea na show zinafanyika na maisha yanaendelea vizuri tu,” amesema.

Ngoma Sikila ambayo Madee amemshirikisha Tekno kutoka nchini Nigeria alifanya video katika mtindo wa katuni (animation) kitu ambacho Dudu Baya alieleza kuwa hakiendani na Madee aliyemfahamu hapo awali.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad