AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Afisa mmoja wa Wizara hiyo, Ahmed el Ansary, amesema umri wa Mahujjaji waliofariki ni kati ya miaka 60 hadi 85.
Katika Ibada ya Hijja ya mwaka huu zaidi ya Mahujaji milioni mbili walihudhuria wakiwemo milioni 1.8 kutoka nje ya nchi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Ni jambo la kumshukuru Allah.kwani umati mkubwa wa watu mahala pamoja nilazima tu kutatokea madhara,aidha vifi,maradhi na mengineo.Ila haitakuwa sababu ya kutowafanya Waislamu kutimiza nguzo ya Tano ya Dini.ALLAH AWAREHEMU WOTE
ReplyDeleteAllah awarehem na wazazi wetu waliotangulia Ameen
ReplyDeletewainnalilah raajiuun mungu awape pepo waliyoifuata huko inshaalah''
ReplyDelete