Mbunge Ridhiwani Kikwete Baada ya Matokeo ya Uchaguzi Kenya Kubatilishwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Moja kati ya stori ambazo zimewashitua wengi Ijumaa ya leo September 1 2017 ni kuhusiana na maamuzi ya Mahakama Kuu nchini Kenya kubatilisha matokeo ya uchaguzi Mkuu uliyofanyika August 8 2017 na Uhuru Kenyata kuibuka mshindi wa Urais dhidi ya Raila Odinga.

Jaji Mkuu David Maraga ameagiza uchaguzi Mkuu mpya utafanyika ndani ya siku 60 kwa mujibu wa sheria na katiba na umebatilishwa kwa sababu IEBC hawakuwa wameandaa uchaguzi huru na haki.

Kila mmoja amepokea uamuzi huo kitofauti, mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ameandika mtazamo wake kupitia ukurasa wake wa instagram “Niliwahi Sema najifunza jambo toka Kenya, Leo inathibitika wakati Mahakama inafungua kurasa Mpya ya Kumbukumbu ya Maamuzi.#KenyaDecides“

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad