AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Jaji Mkuu David Maraga ameagiza uchaguzi Mkuu mpya utafanyika ndani ya siku 60 kwa mujibu wa sheria na katiba na umebatilishwa kwa sababu IEBC hawakuwa wameandaa uchaguzi huru na haki.
Kila mmoja amepokea uamuzi huo kitofauti, mbunge wa Chalinze Ridhiwani Kikwete ameandika mtazamo wake kupitia ukurasa wake wa instagram “Niliwahi Sema najifunza jambo toka Kenya, Leo inathibitika wakati Mahakama inafungua kurasa Mpya ya Kumbukumbu ya Maamuzi.#KenyaDecides“
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK