AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na Star Mix kutokana na sekeseke hilo baada ya mwanamuziki huyo kuweka wazi kwamba ni kweli mtoto huyo ni wake alisema, kitu ambacho anakiona wote wawili wana makosa, iweje Mbongo Fleva huyo alale na mtu mwingine kitanda anacholala na mwanamke wake, pia kwa nini Mobetto alikubali kulalia kitanda hicho bila huruma kwa mwanamke mwenziye.
“Hili swala kilichonifurahisha ni baada ya huyo mwanaume kukiri kumzalisha Hamisa, lakini nikiongea kwa kumshauri kama mwanamke mwenzangu, hata kama alikuwa naye hakupaswa kukubali kulalia kitanda kimoja,” alisema.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wahenga walinena ukiona mwenzako ananyolewa tia kichwa chako maji
ReplyDeletehaaaaaaaaaaaaaa mwambiye yake yanamshinda
ReplyDeleteHakuna cha huruma hapo, mla vya wenzie na vyake pia huliwa
ReplyDeletekwanza kumbe hamisa alikuwa mpenzi wa diamond tangu hata hawajawa maarufu kwa hiyo hapo dimonde amepita kooote akaona kumbe misa ndio kiwango ndio maana akarudi tusubiri ndoa tu hapo,""mama mwenye nyumba kiruuuu""
ReplyDeletewacha move iendeleee
ReplyDeleteya kwako yana kushinda ulikuwa unataka alale nae wapi ampeleke tandale au think before you limp second thing mind your own bussiness alale kitandani alae mkekani inawahusu
ReplyDelete