Mobetto Amekosea Kulala Katika Kitanda Cha Mwanamke Mwenzake Alitakiwa Kuwa na Huruma -Davina

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mobetto Amekosea  Kulala Katika Kitanda  Cha Mwanamke Mwenzake Alitakiwa Kuwa na Huruma -Davina
STAA wa filamu Bongo Halima Yahya ‘Davina’ amemlipua mwanamitindo maarufu, Hamisa Mobetto kutokana na ishu ya kuzaa na Mbongo Fleva ambaye ni mwandani wa Zarina Hassan ‘Zari Boss Lady’.

Akizungumza na Star Mix kutokana na sekeseke hilo baada ya mwanamuziki huyo kuweka wazi kwamba ni kweli mtoto huyo ni wake alisema, kitu  ambacho anakiona wote wawili wana makosa, iweje Mbongo Fleva huyo alale na mtu mwingine kitanda anacholala na mwanamke wake, pia kwa nini Mobetto alikubali kulalia kitanda hicho bila huruma kwa mwanamke mwenziye.

“Hili swala kilichonifurahisha ni baada ya huyo mwanaume kukiri kumzalisha Hamisa, lakini nikiongea kwa kumshauri kama mwanamke mwenzangu, hata kama alikuwa naye hakupaswa kukubali kulalia kitanda kimoja,” alisema.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

6 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wahenga walinena ukiona mwenzako ananyolewa tia kichwa chako maji

    ReplyDelete
  2. haaaaaaaaaaaaaa mwambiye yake yanamshinda


    ReplyDelete
  3. Hakuna cha huruma hapo, mla vya wenzie na vyake pia huliwa

    ReplyDelete
  4. kwanza kumbe hamisa alikuwa mpenzi wa diamond tangu hata hawajawa maarufu kwa hiyo hapo dimonde amepita kooote akaona kumbe misa ndio kiwango ndio maana akarudi tusubiri ndoa tu hapo,""mama mwenye nyumba kiruuuu""

    ReplyDelete
  5. ya kwako yana kushinda ulikuwa unataka alale nae wapi ampeleke tandale au think before you limp second thing mind your own bussiness alale kitandani alae mkekani inawahusu

    ReplyDelete

Top Post Ad