Mwanzilishi wa Jarida la Kimataifa la Playboy Ameaga Dunia

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwanzilishi wa Jarida la Kimataifa la Playboy Ameaga Dunia
Hugh Hefner, mwanzilishi wa jarida la kimataifa la watu wazima - Playboy, amefariki akiwa na umri wa miaka 91.

Playboy Enterprises Inc imesema alifariki kwa amani nyumbani .
Hefner alianza kuchapisha jarida hilo jikoni nyumbani mwake mnamo 1953. Likawa jarida linalo uzika zaidi la wanaume duniani.

Cooper Hefner, mwanawe amesema "atakumbukwa kwa ukubwa na wengi".
Alimtaja babake kama "Mojawapo ya watu wa kwanza kujitosa katika uandishi na aliishi maisha ya aina yake na yenye utofuati," na amemuita mtu anayetetea uhuru wa kuzungumza, haki za kiraia na uhuru wa kijinsia.

Msanii taabani kwa kupigwa picha za utupu mlimani
Mnamo 2012, akiwa na umri wa 86, alimuoa mke wake wa tatu Crystal Harris - ambaye alikuwa mdogo wake kwa miaka 60.

Jarida la Hefner lilichangia kile kinachoonekana kuwa kuheshimiwa kwa picha za utupu katika vyombo vya habari na hilo lilimtajirisha na kumfanya kuwa milionea.
Ufanisi wake ukamuezesha kufungua maenoe ya kucheza kamari na vilabu vya burudani.
Tajiri huyo aliyeonekana mara nyingi akivaa nguo za hariri, aliishi maisha ya starehe, akiwachumbia na kuwaoa wanamitindo wanaopigwa picha katika jarida hilo .

Katika miaka yake ya baadaye alifurahikia kuandaa tamasha kubwa na mikusanyiko ya starehe katika majumba yake ya kifaharai.
Anadai kulala na zaidi ya wanawake 1000 na amesifia nguvu zake kwa dawa za kuongeza nguvu za kiume Viagra
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad