AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Bongo5 Jumatano hii kwa njia ya simu akiwa mkoani, Young Dee amesema wimbo huo ameuandika kutokana na matukio ambayo yanatokea kiutani na baadaye kuibuka kuwa ndio habari ya mjini.
“Nimejaribu tu kuelezea “Utani Utani” ambao unaweza kuleta shida, kwa mfano hivi karibuni kuna hawa ndugu zetu (Diamond na Ommy Dimpoz) walikuwa wanataniana lakini wakavuka mipaka mpaka watanzania wakachukia, kwa sababu walianza kuzungumza mpaka mambo ya ndani, ni Utani ambao unaweza ukafanya mpaka sisi tukashindwa kuongea,” alisema Dee.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK