AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizumza na Za Motomoto News, Nisha alisema kuwa, kubadilika kwa dunia ya sasa, kumesababisha watu kutoaminika hivyo tahadhari ya hali ya juu inapaswa kuchukuliwa kuhusu wapenzi wake kufi ka kwake hasa mwanaye Iptysam anapokuwepo.
“Kama ni boyfriend huwa tunakutana sehemu nyingine, lakini siyo nyumbani kwangu mwanangu akiwepo, maana sitaki akue katika maadili mabaya,” alisema Nisha
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK