Papa Afanya Usuluisho na Upatanishi Nchini Colombia na Kuomba Ukweli na Haki

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Papa Afanya Usuluisho na Upatanishi Nchini Colombia na Kuomba Ukweli na Haki
Kiongozi wa kanisa katoliki duniani Papa Francis jana Ijumaa ameongoza tendo la upatanisho kati ya wapiganaji wa zamani na waathirika wa vita vya wenyewe kwa wenyewe nchini Kolombia, akiomba "ukweli" na "haki" kwa waathirika wa vita hivyo vya nusu karne.

Raia waliojeruhiwa na waliopoteza wapendwa wao na wapiganaji wa zamani walibadilishana maneno ya msamaha na kulia huku Papa Francis akihimiza nchi kuondokana na mgogoro huo mrefu zaidi katika nchi hiyo ya Amerika Kusini

Akiwa katika mji mkuu wa Villavicencio Papa Francis amesema katika mchakato huu wa muda mrefu, mgumu, lakini wa matumaini ya upatanisho, ni muhimu kuzingatia ukweli.

Papa Francis ameongeza kuwa ukweli ni rafiki asiyeweza kutenganishwa na haki na huruma na vyote kwa pamoja ni muhimu katika kujenga amani.

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad