AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Raia waliojeruhiwa na waliopoteza wapendwa wao na wapiganaji wa zamani walibadilishana maneno ya msamaha na kulia huku Papa Francis akihimiza nchi kuondokana na mgogoro huo mrefu zaidi katika nchi hiyo ya Amerika Kusini
Akiwa katika mji mkuu wa Villavicencio Papa Francis amesema katika mchakato huu wa muda mrefu, mgumu, lakini wa matumaini ya upatanisho, ni muhimu kuzingatia ukweli.
Papa Francis ameongeza kuwa ukweli ni rafiki asiyeweza kutenganishwa na haki na huruma na vyote kwa pamoja ni muhimu katika kujenga amani.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK