AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kampuni ya Udalali ya Yono ipo Mbweni JKT kupiga mnada ghorofa mbili za kampuni hiyo ya Lugumi.
Akizungumza wakati wa Mnada huo Mkurugenzi wa Kampuni ya Yono Scolastica Kevela amesema nyumba ya kwanza imefikia Shilingi 460 milioni lakini bado haijapata mteja.
"Wateja waendelee kujitokeza na tutabaki hapa hadi saa 12 jioni" amesema Kevela
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
atakae nunua si atashikwa na Magu na kuulizwa kapata wapi pesa?
ReplyDelete