Wateja Wagoma Kujitokeza Katika Mnada wa Nyumba za Lugumi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wateja Wagoma Kujitokeza Katika Mnada wa Nyumba za Lugumi
Mnada wa nyumba zinazomilikiwa na  Kampuni ya Lugumi Enterprises Limited zilizopo Mbweni na Mtaa wa Mazengo Upanga jijini Dar es Salaam  unafanyika leo Septemba 9.

Kampuni ya Udalali ya Yono  ipo  Mbweni JKT  kupiga mnada ghorofa mbili za kampuni hiyo ya Lugumi.

Akizungumza wakati wa Mnada huo Mkurugenzi wa Kampuni ya Yono Scolastica Kevela amesema nyumba ya kwanza  imefikia Shilingi 460 milioni lakini bado haijapata mteja.

"Wateja waendelee kujitokeza na tutabaki hapa hadi saa 12 jioni" amesema Kevela



----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. atakae nunua si atashikwa na Magu na kuulizwa kapata wapi pesa?

    ReplyDelete

Top Post Ad