AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mahakama ya Karmo Jijini Abuja nchini Nigeria inamshikilia mwanamama Mercy Segun, 42 kwa tuhuma za kutia pilipili katika uke wa mtoto wake na kumsababishia maumivu makali.
Mtuhumiwa huyo alikamatwa siku ya Jumatano Agosti 30, 2017 na anashikiliwa kwa makossa matatu ya jinai, shambulio la mwili pamoja na kumsababishia maumivu makali mtoto huyo mwenye umri wa chini ya miaka 18.
Jirani wa mama huyo aitwaye Gift, alitoa taarifa ya tukio hilo katika kituo cha polisi cha Karmo ambapo Polisi walifanya uchunguzi na kumtia mbaroni mama huyo mara moja. Mpelelzi wa Polisi Florence Auhioboh aliieleza mahakama
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK